hawandio maswahiba zng moyo wng unaniuma kuwapoteza mashujaa km hawa allah awajazekheri kwakile walicho kikusudia dhidi yetu nahawa ndio watakua makumbusha kwangu pmj nakizazi changu matarajio yng kufadhi kukmbukumbuzao ilikila ajae baada yng aweze kupata elimu kupitia mashaeed hawa ambao walijitorea kwahalina mali kupigani dini yahaki nasio makumbusho yale yabaga moyo /kilwaznz angaambayo hayakusemwa ukweli dhidi yake hatimaye hitimaye yale maqaburr ya mashareef hivi sasa yamegeuzwa madangulo
amkaifanya miji yetu ipoteze nuru baraka na neema walizo acha wazee wetu kwa laana tulizonazo vijana wetu hivi sasa wamekua kama dada zao
abado mtayaona mengi zaidi yahayo