Kipa wa timu ya Ruvu Shoooting , Abdullah Abdallah akijaribu kuokoa mpira langoni mwake huku mshambuliaji wa Simba ,Emmanuel Okwi (katikati) akifuatilia wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzaia Bara uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.Simba ilishinda 3-0.