JOSHUA HAUTAPATA PESA ZA MOTOR BIKE NA MATATU TUMIA BAISIKELI AU MIGUU KWENDA TRAINING MASIMBANI NI MIMI RICHARD MUTISO . Please chika sasahara unajua vizuri kutoka mwezi wa pili mimi 1. sijalima shamba langu au kupanda 2.unajua vizuri akuna kazi yoyote ya kuleta pesa mufukoni mwangu nimewai kufanya 3. unaelewa vizuri nilitumia uo mda wote tukijenga kikundi katika kibwezi DISTRICT YOTE 4. Mukiniambia nitumie bisikeli na minguu kwendea TRAININGS kwakweli sub loction zote za kibwezi district nitaweza mimi katika umuri wangu huu nilio nao?.5.tusipo enda tarehe zile tumepanga na wao na masaa yale tumepanga nawao nani jina lake itaharibika na atalaumiwa ?.6.kama mnasema niairishe pesa za kupikia simu nitatoa wapi?.7.tusipo wafunza ku establish nursary watapa