Mambo vp Abou,sasa jitahidi umwambie farida awasumbue kule mombasa maana mimi nimeshamaliza kila kitu,release zote zimeshakabidhiwa cma mombasa sasa awasumbue ili tujue wanapakia lini kontena,mimi nilishamwabia tayari,na ukirudi usisahau kunichukulia POLO BLUE pale Dubai pls