jamani kule marekani wa america weusi wanaandamana kunani hiyo haki iko wapi ubaguzi dhidi ya watu weusi huko america ume kithirrrrrrrrr sasa hao haki za binadamu wako wapi saas nyie mnao jikomba kwa america mko wapi ndugu zenu wana nyanysaw huko nendeni mkawakmboee jamboo la kuskitisha sanaaaaaaaaa kumbe kujipendekeza kote kwa hao wazungu wenu kumbe wao wana waona nyiee ni sawa na mbwaaaaaa mwituu hahahhaaaaaaaa haq-kamwe hamuwezi kuipata mpaka khilafa isimame hapo ndipo ina patikana haq-amani ktk ulimwengu huuuuuuuuuuuuuuuu