eti wiki ya maji tanzania jamani chaajabu eti dsm watu wamejaza mandoo ya maji ndani badara ya kujaza fanicha mmm eti kuna maji ya kuoga ya chumvi na yakunywa ya bommbani mmm jamani miaka kibao sasa isha pita serika imeshindwa kukmilisha na kutekereza mradi waji kikamilifu hhhaha hatimaye na kuweka propaganda kibao dhidi ya mradi huo mara dawasco mala sijui jina gani kwa sasa sijui huu mradi huko umepewa jina gani lkn ishu nikwamba serikali ya tz ,ije shindwa kuboresha sekta mmbalimbali muhimu kwa maisha ya mwanadam , hussani katika sekta hii ya huduma za maji taka na maji safi hahah naona ata aibu kuzungmza katika hili ispoku tunapaswa kusema hpana tume choka na serikali dhaifu y ccm na uongo na mafumbo yanayo enderea katika bunge lao la katiba