mambo ya japan usafiri wa haraka na gharama nafuu kuliko usafili mwingine wowote ndani ya japan sio lile gari moshi tunalo tumia sie kule tz na na bado tuna wapigia kuura ccm wezi wakubwa wasio kuwa na uchungu na maslahi ya raia wanyonge jamani amkeni wtz tokeni usingizini jalibuni kufanya mabadiliko ya dhahili nasio kudanganywa na kanga na vitenge na kofia tubadilike wtz kama tuna taka maendereo ya kweli vinginevyo vitu kama hivi tutafanywa kuadisiwa na majirani tuu aidha kuona katika video